Rais Samia ameruhusu kupandishwa vyeo maafisa, wakaguzi na askari wa vyombo vya ulinzi na usalama 34,106 idadi hiyo haijawahi tokea.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema Rais Samia Suluhu Hassan, ameruhusu kupandishwa vyeo Maafisa, Wakaguzi na Askari 34,106, wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama vilivyopo chini ya Wizara yake kwa mujibu wa taratibu na sheria.Akizungumza na Waandshi wa Habari katika Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na