Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema Rais Samia Suluhu Hassan, ameruhusu kupandishwa vyeo Maafisa, Wakaguzi na Askari 34,106, wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama vilivyopo chini ya Wizara yake kwa mujibu wa taratibu na sheria.Akizungumza na Waandshi wa Habari katika Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed